STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 10 Novemba 2015

IBRAHIMOVICH AWEKA REKODI BAADA YA KUTWAA TUZO HII................


MSHAMBULIAJI Zlatan Ibrahimovic ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Sweden kwa mara ya 10 katika historia yake na mara ya tisa mfululizo.

2E4789B100000578-0-image-a-50_1447151946659
Na baada ya ushindi wa tuzo hiyo, mchezaji huyo mwenye nguvu, amewataka wachezaji wenzake kujitolea kila kitu katika mchezo wa mchujo wa kufuzu wa Euro 2016 dhidi ya Denmark.


2E4787F800000578-0-image-a-51_1447151951095
              Ibrahimovic akiwa na Figo
Mpachika mabao huyo wa Paris St Germain alikuwa ana mwaka mzuri uliopita, akishinda taji la Ligi Kuu ya Ufaransa, Ligue 1 likiwa taji lake la 12 la ligi kushinda huku akifunga mabao 30 katika mechi 35.
Mshambuliaji huyo wa zamani wa Inter Milan na Barcelona mwenye umri wa miaka 34, wiki hii atakuwa na mtihani mgumu kwa ajili ya taifa lake, atakapoipigania Sweden tiketi ya Fainali za Mataifa ya Ulaya mwakani watakapomenyama na Denmark katika mchezo wa mwisho wa kufuzu.
 Ibrahimovic has demanded 100 per cent from his team-mates ahead of their Euro 2016 play-off with Denmark
REKODI KATIKA TUZO HIZO ;
 zla
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox