STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 4 Septemba 2015

YALIO MKUMBA FABRICE MUAMBA NA KUACHANA NA SOKA KWA MATATIZO YA MOYO YAMKUTA MCHEZAJI HUYU.....


Ugonjwa wa moyo ni ugonjwa ambao unawasumbua watu wengi, kwa wanasoka ugonjwa huu mara nyingi hufanya wastaafu soka ili kulinda maisha yao, iliwahi kumtokea uwanjani Fabrice Muamba wakati anachezea klabu ya Bolton, moyo wake ulisimama kufanya kazi kwa dakika 78, kwa mapenzi ya mungu na jitihada za madaktari walifanikiwa kuokoa uhai wake.
2BF38F8D00000578-0-image-a-3_1441325338346
Tukio hilo lilihitimisha maisha ya soka ya Fabrice Muamba akiwa na umri wa miaka 24 wakati huo, sasa imemtokea kwa mcheza tennes huyo wa Marekani Jack Sock ambaye Septemba 4 mtandao wa dailymail.com umeripoti mcheza tennes kustaafu US Open.Baada ya kuanguka kwa shock katika mechi dhidi ya Ruben Bemelmans.
2BF36BBD00000578-0-image-a-5_1441325405610
Jack Shock akiwa na umri wa miaka 22, anaingia katika list ya wanamichezo waliyowahi kupata matatizo ya moyo kati kati ya mchezo.
2BF36F9D00000578-0-image-a-9_1441325515207

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox