STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 9 Novemba 2015

BAADA YA MAKUNDI CHALENJI, KILI STARS, ZANZIBAR HEROES GUMZO MITANDAONI

WACHEZAJI WA TAIFA STARS AMBAO WENGI WAO WANAUNGA VIKOSI VIWILI WA KILI STARS NA ZANZIBAR HEREOS....

Kilimanjaro Stars ambayo ni timu ya Tanzania Bara imepangwa kundi A na wenyeji Ethiopia.

Haya ni makundi ya michuano ya Chalenji itakayofanyika nchini Ethiopia kuanzia Jumamosi Novemba 21.
Tayari katika mitandao mbalimbali makundi hayo yamekuwa gumzo baada ya kuvuja mtandaoni.
Watanzania wamekuwa wakijadili kuhusiana na Kili Stars huku wakiamini hata Zanzibar Heroes nayo ina wakati mgumu katika kundi C.
 KUNDI A: 
Ethiopia, Zambia, Tanzania, Somalia
KUNDI B:
Kenya. Uganda, Burundi. Djibouti
KUNDI C:

 Sudan, Rwanda, South Sudan, Zanzibar

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox