STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 12 Novemba 2015

HUU NDO MPIRA UTAKAO TUMIKA MICHUANO YA EURO 2016.............

Kuelekea michuano ya mataifa ya Ulaya yatakayofanyika mwaka 2016, shirikisho la soka barani Ulaya limetangaza mpira maalum kwa ajili ya kutumika katika mashindano hayo, mpira wa utaotumika katika mashindano hayo ya mataifa ya Ulaya kwa mwaka 2016 umetengenezwa na kampuni ya vifaa vya michezo ya kijerumani ADIDAS.

2E5E9C7500000578-0-image-a-42_1447327190930
Mpira huo maalum wa Euro unaoitwa kwa jina la kifaransa la ‘Beau Jeu’ ambapo kwa kiingereza unatafsiriwa kwa jina la ‘the beautiful game’ unatajwa kufanana na mpira (Brazuca) uliotumika katika michuano ya Kombe la Dunia 2014 iliyofanyika Brazil . Mpira wa ‘Beau Jeu’ ulitengenezwa kwa zaidi ya miezi 18.

Michuano ya Euro 2016 itafafanyika Ufaransa lakini ADIDAS imekuwa ikipokea tenda ya kutengeneza mipira ya mashindano hayo kwa miaka mingi sasa.

 Hii ni List ya mipira ya Euro iliyokuwa inatumika kuanzia mwaka 1960 hadi utakaotumika mwaka 2016
 
1E7EDE1B00000578-3315271-image-a-53_1447328424468
Huu ni mpira wa Brazuca ambo ulitumika mwaka 2014 katika michuano ya Kombe la Dunia Brazil ila unatajwa kufanana na wa Euro 2016

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox