STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 8 Novemba 2015

KWELI MESSI MUHIMU, ILA KWA SASA NEYMAR, SUAREZ NDIYO MUHIMU ZAIDI, ANGALIA WALIVYOIBEBA BARCELONA.........


                      Neymar akifunga goli bora kabisa

Kweli mshambuliaji nyota wa Barcelona, Lionel Messi ni majeruhi, lakini Barcelona bado ina ‘watu’.

Neymar amethibitisha hilo baada ya kuifungia mabao mawili wakati ikiitandika Villareal kwa mabao 3-0 katika mechi ya La Liga.

Aliyemalizia kazi hiyo ni Luis Suarez ambaye alifunga bao hilo moja.





Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox