STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 8 Novemba 2015

TAARIFA YA GUARDIOLA KUHUSU FUTURE YAKE...........

Pep-Guardiola
Kocha wa Bayern Munich Pep Guadiola kupitia kwa mwenyekiti wa klabu hiyo Karl-Heinz Rummenigge imesema kuwa kocha huyo ataweka hadharani mustakabali wa wapi atakako kuwepo baada ya msimu huu kwisha kabla ya sikukuu ya Christmas msimu huu.

Rummenigge amesema Guadiola atatoa surprise ya Christmas na kwamba watu wasubiri kuona wapi ataelekea kocha huyo ama ataongeza mkataba na klabu yake ya sasa ya Bayern Munich.

Guadiola ambaye amebakiza hadi mwezi Juni mwakani kumaliza mkataba wake na klabu yake ya Bayern, amekua akihusishwa sana na taarifa za kuhamia klabu za Manchester City na Chelsea za nchini England.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox