STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 13 Januari 2016

AUBAMEYANG AMSHANGAA YAYA TOURE.

MSHAMBULIAJI wa Borussia Dortmund, Pierre-Emerick Aubameyang ameonyesha kutoelewa kauli ya Yaya Toure aliyotoa kufuatia kushindwa katika tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa Afrika. 
 
Kiungo huyo wa Manchester City alikuwa na matumaini ya kushinda tuzo hiyo kwa mara ya tano mfululizo lakini alizidiwa na Aubameyang ambaye amekuwa na rekodi nzuri ya ufungaji katika Bundesliga. 
 
Toure alimpongeza nyota huyo mwenye umri wa miaka 26 lakini pia alikandia suala la upigaji kura lilivyofanyika akidai linaitia aibu bara la Afrika. 
 
Akihojiwa Aubameyang amesema hafahamu kwanini Toure aliongeza maneno hayo na hawezi kuchukia kuhusu hilo kwani kwa upande wake tayari habari hiyo imeshapitwa na wakati.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox