Lionel Messi ameshinda tuzo ya 2015 Fifa Ballon d'Or akimbwaga mpinzani wake kutoka Real Madrid Cristiano Ronaldo na mchezaji mwenzake kwenye timu moja ya Barcelona Neymar, kwenye sherehe ambazo zimemalizika muda mfupi uliopita kule jiji Zurich .
Mchezaji huyo wa kimataifa kutoka Argentina baada ya kutangazwa mshindi wa tuzo hiyo inakuwa ni ya tano, ambapo kwa sasa yeye ndiye mchezaji pekee aliyewahi kuchukua tuzo hiyo mara nyingi kuliko mchezaji yeye katika histiria ya soka.
Messi ambaye kwa sasa ana miaka 27 tuzo yake ya kwanza ya Ballon d'Or ilikuwa ni mwaka 2009
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Jumatatu, 11 Januari 2016
MESSI NDIYE MCHEZAJI BORA WA MWAKA 2015, AANDIKA HISTORIA MPYA...........
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni