STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 12 Januari 2016

MESSI NDO MFALME,TIZAMA BAADHI YA MANAHODHA WALIVYO PIGA KURA PIA WASHINDI WOTE WA TUZO ZA FIFA..................

 Carli Lloyd and Lionel Messi

Mshambuliaji wa klabu ya soka ya Barcelona, na timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi, ametwaa tuzo ya mchezo bora wa dunia.

Messi mwenye miaka 28 alishinda kwa 41.33% kwa kura zote zilizopigwa, huku Cristiano Ronaldo akishika nafasi ya pili kwa 27.76% na Neymer akipata 7.86%.

Hii ni mara yake ya tano kutwaa tuzo hiyo.

Kwa upande wa wanawake nyota wa Marekani Carli Lloyd, ameibuka kuwa mchezaji bora kwa upande wa wanawake.

Goli bora la mwaka likifahamika kama Puskas limwendea Wendell Lira anayekipiga katika Atletico Goianiense ya Brazil.

Kocha wa Barcelona Muhispania Luis Enrique amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwaka kwa kuiongoza barca kufanya vizuri barani Ulaya kwa kutwa mataji matano msimu uliopita.

Jill Ellis kocha wa kikosi cha taifa cha Marekani amekuwa kocha bora wa wanawake baada ya kuongoza timu ya taifa ya Marekani kufanya vyema katika michuano ya kombe la dunia.

 KIKOSI BORA 2015 CHA FIFA :

 Goalkeeper: Manuel Neuer,
Defenders: Thiago Silva, Marcelo, Sergio Ramos, Dani Alves
Midfielders: Andres Iniesta, Luka Modric, Paul Pogba,
Forwards: Neymar, Lionel Messi, Cristiano Ronaldo.

 The FIFA FIFPro World XI assembles on stage during the FIFA Ballon d'Or Gala 2015 at the Kongresshaus on January 11, 2016 in Zurich, Switzerland

 Lionel Messi announced as FIFA Ballon d'Or 2015 winner ahead of Cristiano Ronaldo and

                             TUZO ZOTE ZILIZOTOLEWA;

FIFA Ballon d'Or

 Messi touches the award during his winner's speech

fifa.fifaBallondor
  • Lionel MESSI

  • ARG
    ARGENTINA

FIFA Women's World Player of the Year

 USA and Houston Dash star Carli Lloyd collected the FIFA Women's World Player of the Year award at the Ballon d'Or 2015 ceremony

fifa.playerOfYearWomen
  • Carli LLOYD

  • USA
    USA

Men's World Coach

 Barcelona technical secretary Robert Fernandez was on hand in Zurich to accept the Coach of the Year award on Enrique's behalf

fifa.coachOfTheYearMen
  • LUIS ENRIQUE

  • ESP
    SPAIN

Women's World Coach

 United States coach Jill Ellis collected the FIFA Women's World Coach of the Year at the Ballon d'Or 2015 ceremony in Switzerland

fifa.coachOfTheYearWomen
  • Jill ELLIS

  • USA
    USA

Fair Play Award

fifa.fairPlayAward
  • All football organisations supporting refugees

Puskás Award

 Wednall Lira wept after winning the FIFA Puskas Award ahead of Messi for his finish in a stunning team goal move by  Goianesia in Brazil

fifa.theFIFAPuskasAward
  • Lira WENDELL

  • BRA
    BRAZIL

FIFA FIFPro World XI

fifa.best11
  • GK: Manuel NEUER
  • DF: DANI ALVES
  • DF: MARCELO
  • DF: Sergio RAMOS
  • DF: THIAGO SILVA
  • MF: Andres INIESTA
  • MF: Luka MODRIC
  • MF: Paul POGBA
  • FW: CRISTIANO RONALDO
  • FW: Lionel MESSI
  • FW: NEYMAR

BAADHI YA MANAHODHA WALIVYO PIGA KURA: 

Wayne Rooney picks Jose Mourinho, Pep Guardiola and Jorge Sampaoli in Ballon D'or coach ofRooney nahodha wa Uingereza alivyo piga kura kuchagua mchezaji bora na kocha bora
A pick of the voting for the Ballon d'Or award for best player from international captains across the world
 2015

Lionel Messi topped the voting for the Ballon d'Or with an emphatic 41.33 per cent of the vote on Monday
2008: 1st = C. Ronaldo (30.97%), 2nd = L. Messi (19.51%), 3rd = F. Torres (12.43%)

2009: 1st = Messi (32.85%), 2nd = C. Ronaldo (16.18%), 3rd = Xavi (11.81%)

2010: 1st = Messi (22.65%), 2nd = A. Iniesta (17.36%), 3rd = Xavi (16.48%)

2011: 1st = Messi (47.88%), 2nd = C. Ronaldo (21.60%), 3rd = Xavi (9.23%)

2012: 1st = Messi (41.60%), 2nd = C. Ronaldo (23.68%), 3rd = A. Iniesta (10.91%)

2013: 1st = C. Ronaldo (27.99%), 2nd = L. Messi (24.72%), 3rd = F. Ribery (23.36%)

2014: 1st = C. Ronaldo (37.66%), 2nd = L. Messi (15.76%), 3rd = M. Neuer (15.72%)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox