STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 7 Agosti 2014

BENZEMA KUZEEKEA BERNABEU.........

Staying put: Real Madrid forward Karim Benzema has committed himself to the club until 2019
Bado nipo nipo kwanza!: Mshambuliaji wa Real Madrid, Karim Benzema, ameamua kuongeza mkataba mpaka mwaka 2019. 

KARIM Benzema ameamua kuzeekea Real Madrid baada ya kuongeza mkataba wake mpaka mwaka 2019.
Nyota huyu alikuwa anahusishwa kujiunga na baadhi ya klabu za ligi kuu, lakini biashara imekatika ghafla na sasa Mfaransa huyo ataendelea kudunda dunda Santiago Bernabeu.
Arsenal, Liverpool na Tottenham Hotspur zilikuwa miongoni mwa klabu nyingi za ligi kuu England zilizokuwa zikihusishwa kumsajili mshambuliaji huyo mwenye miaka 26, lakini mchezaji huyo wa zamani wa Lyon hatafanya baishara ya kucheza England msimu ujao.
Wanted: Benzema had been linked with a move to Liverpool, Tottenham or Arsenal this summer
Aliwindwa: Benzema alihusishwa kujiunga na klabu za  Liverpool, Tottenham au Arsenal majira haya ya kiangazi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox