STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 10 Agosti 2014

SOUTHAMPTON YAMSAJILI FOSTER PAUNI MILIONI 10 KUTOKA CELTIC


Mlinda lango: Kipa mwenye urefu wa futi 6 na inchi saba amekamilisha usajili wake kuhamia Southampton kutoka Celtic
 
KLABU ya Southampton imekamilisha usajili wa kipa wa England, Fraser Forster kwa dau la Pauni Milioni 10 kitoka mabingwa wa Scotland, Celtic.
Kocha wa Watakatifu, Ronald Koeman amesema jana baada ya kipigo cha 1-0 katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na msimu kutoka kwa Bayer Leverkusen kwamba dili ni kama limetimia baada ya klabu hizo kukubaliana ada ya uhamisho na mchezaji tayari amefanyiwa  vipimo.
Na Jumamosi jioni klabu hiyo ilitoa taarifa kwenhye tovuti yake ikithibitisha usajili wa mlinda mlango huyo mwenye umri wa miaka 26.
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox