MAYWEATHER |
BONDIA MAYWEATHER NDIYE ANAONGOZA KWA KIPATO ZAIDI KULIKO WANAMICHEZO WENGINE WOTE DUNIANI
Mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney anaingiza pauni milioni 15 kwa mwaka ikiwa ndiyo kipato chake.
Katika
hizo, pauni milioni 11.8 zinazokana na mshahara, lakini bado hajaweza
kufanikiwa kuingia kwenye 10 Bora ya wanaolipwa vizuri.
Bondia
Floyd Mayweather ndiye kinara na wanasoka pekee wanaoingia kwenye 10
Bora ya kipato kikubwa kwa mwaka ni Cristiano Ronaldo na Lionel Messi
tu.
WANAMICHEZO WANAOLIPWA ZAIDI - 2014
1) Floyd Mayweather (Ngumi) - £67m
2) Cristiano Ronaldo (Soka) - £51.1m
3) LeBron James (Kikapu) - £46.2m
4) Lionel Messi (Soka) - £41.3m
5) Kobe Bryant (Kikapu) - £39.3m
6) Tiger Woods (Gofu) - £39.1m
7) Roger Federer (Tenisi) - £35.9m
8) Phil Mickelson (Gofu) - £34m
9) Rafael Nadal (Tenisi) - £28.4m
10) Matt Ryan (NFL) - £28m
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni