STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 28 Novemba 2014

MASHABIKI WAVURUGA MECHI YA EUROPA YA TOTTENHAM, WAPIGA 'SELFIE' ZA KUTOSHA HALI TETE...

 Mashabiki watatu walivamia uwanjani wakati Tottenham ikipambana na Partizan Belgrade katika mechi ya Ligi ya Europa ambayo ilikuwa ‘suspended’.

Mashabiki hao walivamia uwanjani na kuanza kupiga picha ‘selfie’ na wachezaji wa Spurs.
Kwa kuwa walikuwa wakiingia kila baada ya muda mchache, ilimlazimu mwamuzi kuwarudisha wachezaji vyumbani.







Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox