STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 28 Novemba 2014

ROY KEANE AACHIA NGAZI ASTON VILLA.

KLABU ya Aston Villa imetangaza kuwa Roy Keane amejiuzulu wadhifa wake wa kocha wa msaidizi wa timu hiyo. Mapema Keane alikaririwa akidai kuwa anapata tabu kuhudumia vibarua viwili alivyokuwa navyo. Keane ambaye
pia
ni kocha msaidizi wa Ireland amesema sio haki kwa pande zote mbili, hivyo anatakiwa kufanya uamuzi wa kuchagua kibarua kimoja. Kocha wa Villa Paul Lambert alithibitisha asubuhi ya leo kuwa taarifa hizo na kudai kuwa ana heshimu uamuzi uliochukuliwa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox