STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 24 Mei 2015

ANGALIA MIPICHA CHELSEA WAKISHEHEREKEA UBINGWA WAO



John Terry akibeba kombe la ligi kuu England ambalo wametunukiwa leo Stamford Bridge wakimaliza msimu wa 2014/2015 kwa ushindi wa 3-1 dhidi ya Sunderland.
Chelsea ndio mabingwa wapya wa England na walitwaa ndoo hiyo mapema mwezi huu.
Loic Remy leo amefunga magoli mawili na moja limefungwa kwa mkwaju wa penalti na Diego Costa, wakati Steven Fletcher ameifungia Sunderland goli la kufutia machozi.
Fireworks are released at Stamford Bridge with Chelsea well and truly in the mood to party at the end of the season
Raha za ubingwa hizo, pati  limeanzia hapa...
Mshambuliaji wa Chelsea, Didier Drogba amepata heshima kubwa kutoka kwa wachezaji wenzake na mchezo wa leo ni wa mwisho kwake
Drogba took centre stage on his final appearance for Chelsea as he led the Premier League title celebrations
Drogba akiwaongoza wenzake kushangilia ubingwa wa England 
Ticket tape covers the Chelsea players as they finally get the chance to celebrate winning the title after victory over Sunderland
Hatimaye wachezaji wa Chelsea wamepata nafasi ya kushangilia na kombe 
John Terry holds up the Premier League trophy
Chelsea manager Jose Mourinho celebrates with his medal
Mourinho gestures to the fans as Chelsea prepare to lift the Premier League trophy after victory over Sunderland
Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho akiwaonesha ishara mashabiki wa Chelsea wakati wanajiandaa kubeba kombe

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox