STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 25 Mei 2015

DEUS KASEKE ATAMBULISWA RASMI JANGWANI

Mkuu wa Idara ya habari na Mawasiliano wa Yanga, Jerry Muro (katikati) leo akiwa makao makuu ya klabu hiyo Jangwani, amemtambulisha rasmi kiungo wao mpya wa ushambuliaji, Deus Kaseke (kulia) ambaye jana alisaini mkataba wa miaka miwili kuwachezea mabingwa hao wa Tanzania bara .
Kaseke aliyekuwa anakipiga Mbeya City misimu miwili iliyopita amekabidhiwa jezi namba 4 aliyokuwa anaitumia pia kwa Wagonga nyundo wa Mbeya.
Swali ni je, beki Rajab Zahir aliyekuwa anavaa jezi hiyo ataondoka au atapewa jezi nyingine?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox