STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 26 Mei 2015

DROGBA BAADA YA KUACHANA NA CHELSEA AONESHA MAPENZI YA DHATI NA TIMU HIYO

Didier Drogba amesema kamwe hawezi kucheza timu nyingine yoyote ya ligi kuu nchini Uingereza wakati huu anapoachana na klabu yake ya Chelsea.
Taarifa zilizopo zinadai kuwa kuna uwezekano mkubwa kwa Didier Drogba kuungana na Frank Lampard pamoja na Steven Gerrard kuelekea nchini Marekani kukipiga katika ligi kuu nchini humo.
"Kiukweli kuna timu nyingi sana nzuri ligi kuu nchini Uingereza lakini mapenzi yangu kwa timu hii...siwezi kuchanganya na timu nyingine ya EPL.
"Tangu nilipotangaza mitandaoni kuwa naondoka Chelsea, wakati nipo katika vyumba vya kubadilishia nguo, nilipokea simu kutoka timu mbalimbali ambazo nyingine zilinipa mshangao kabisa.
"Hii inaonesha labda naweza kufanya kitu kwa timu. Bila shaka navutiwa pia na USA," Aliongeza Drogba.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox