STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 24 Mei 2015

MATOKEO YA MICHEZO YA MWISHO LIGI KUU ENGLAND YAPO HAPA, LIVERPOOL AIBU, HULL CITY YASHUKA DARAJA

LIGI kuu England imefikia tamati jioni hii kwa timu zote 20 kushuka dimbani, lakini stori kubwa ni Majogoo wa jiji, Liverpool kumaliza msimu kwa kupokea kipigo kikubwa cha magoli 6-1 kutoka kwa Stoke City.
Arsenal nao wakicheza Emirates wameitandika 4-1 West Bromwich Albion.
Chelsea wameishindilia 3-1 Sunderland, wakati Manchester United wakicheza ugenini  wametoka 0-0  dhidi ya Hull City.

MATOKEO YA MECHI ZOTE ZA MWISHO EPL LEO
May 24
FT
Arsenal
West Bromwich Albion
FT
Aston Villa
Burnley
FT
Chelsea
Sunderland
FT
Crystal Palace
Swansea City
FT
Everton
Tottenham Hotspur
FT
Hull City
Manchester United
FT
Leicester City
Queens Park Rangers
FT
Manchester City
Southampton
FT
Newcastle United
West Ham United
FT
Stoke City
Liverpool

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox