STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 24 Mei 2015

YANGA YAMSAJILI CHANONGO


Baada ya tetesi za muda mrefu, hatimaye mambo yameamilika baada ya Yanga kufanikiwa kumsajili kiungo Haruna Chanongo.

Yanga imemsajili Chanongo akitokea Simba ambayo ilikuwa imepeleka Stand United kwa mkopo.
Suala la usajili wa Chanongo limekamilika jana kwa mkataba wa miaka miwili na sasa ni mchezaji halali wa Yanga.

Chanongo alipelekwa Stand United United huku viongozi wa Simba wakiwa wanamshutumu kwa kitendo chake cha dharau.

Walisema alikuwa akiihujumu timu yao, jambo ambalo lilikanushwa na meneja wake Jamal Kisongo.
Simba walidai hata baada ya kuitwa na viongozi wa juu akiwemo Rais wao, Evans Aveva, Chanongo alionyesha dharau.

Hali iliyowafanya waamini alikuwa akifanya hivyo kwa makusudi kwa kuwa ana “damu” ya Yanga.
CHANZO; SALEH JEMBE

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox