STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 14 Juni 2015

SOMA KILICHOANDIKWA NA MAGAZETI YA LEO ULAYA, FALCAO CHELSEA, MAN CITY WAMTAKA DI MARIA


Arsenal  wanajiandaa kusajili wachezaji wawili wa PSG Alexandre Lacazette na Nabil Fekir. Lakini pia Lyon na Liverpool wameonesha nia ya kutaka hudumu ya Lacazette ambaye ni mfungaji bora wa Ligue 1 msimu uliopita.
Source: le10sport.com
Sunday, June 14, 2015 08:16

Falcao to Chelsea a done deal

Inasemekana jana jumamosi Radamel Falcao amekamilisha taratibu za usajili kutoka Monaco kuelekea Chelsea 
Source: Record
Sunday, June 14, 2015 07:45

Manchester City want Di Maria

Manchester City wameonesha dhamira ya kumsajili Angel Di Maria. Txiki Begiristain ambaye ni mmoja wa viongozi wa juu wa timu hiyo amejaribu kufanya mazungumzo na wakala wa mchezaji huyo kama mteja wake yupo taraji kuondoka Old Trafod na kuelekea Etihad.
Source: The Sunday Times
Sunday, June 14, 2015 00:07
Sunday, June 14, 2015 07:09

Rooney wants Kane at United

Wayne Rooney amemoumba kocha wake Louis van Gaal aongeze dau lililokataliwa  £40 million na Tottenham kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji Harry Kane. Rooney anaamini akicheza sambamba na kinda huyo mwenye miaka 21 safu ya ushambulia ya timu hiyo itakuwa tisho kwenye msimu ujao.
Source: The Sun
Sunday, June 14, 2015 07:06

Real Madrid willing to sell Casillas

Real Madrid wapo tayari kumuuza kipa wao Iker Casillas kuelekea Tottenh endapo kama Spurs watakubali kumuuza kipa wao Hugo Lloris akazibe nafasi ya De Gea pale United.
Source: Daily Mail
Sunday, June 14, 2015 00:18

Everton to sign Deulofeu

Everton are set to complete the signing of Gerard Deulofeu from Barcelona for €4 million (£3m). The Toffees have beaten off competition from other Premier League clubs to land the 21-year-old.
Source: Daily Mail
Sunday, June 14, 2015 00:04

Roma renew Dzeko interest

Roma wamefufua tena nia yao kutaka saini ya mshambuliaji aliyekusa namba ya kudumu kwenye kikosi cha Man City Edin Dzeko. Mchezaji huyo kutoka Bosnia ameruhusiwa kuondoka klabuni hapo endapo itatokea timu kumuhitaji na dau lake ni paund milion 20
Source: Daily Mail
Sunday, June 14, 2015 00:02

Ronaldo tells Real Madrid he wants to stay

Cristiano Ronaldo amewaambia Real Madrid kwamba anahitaji kubaki kwenye timu hilo kwenye msimu ujao. Mchezaji huyo wa kimataifa kutoka Ureno amekuwa akihusishwa na kutaka kujiunga na matajiri wa Ufaransa PSG
.
Source: Daily Mail

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox