Kiungo mshambuliaji wa Barcelona na timu ya taifa ya Brazil neymar Jr amesema ameboresha mkataba na timu hiyo mkataba utakao muweka klabuni hapo mpaka mwaka 2020, mkataba wenye thamani ya paundi milioni12 kwa mwaka.
Source: Sport
Monday, June 15, 2015 09:53
Monday, June 15, 2015 09:53
|
|
Chelsea wanajipanga kupambana kumbakisha kipa wao chaguo la kwanza Thibaut Courtois. Mlinda mlango huyo hatimaye amehitaji kurudi kucheza kwenye ligi kuu ya Hispania, lakini safari hii kwenye timu ya Real Madrid. Uwezekano wa yeye kubaki darajani pengine mpango wa Madrid wa kumsajili David de Gea ukamilike huenda kipa huyo akabakia Chelsea.
Source: Evening Standard
Monday, June 15, 2015 12:03
Monday, June 15, 2015 12:03
|
|
Manchester United wamejitoa kwenye mbio za kutaka saini ya mshambuliaji wa Atletico Madrid Mario Mandzukic baada yaWolfsburg nao kuingilia kati mpango wa kumsajili mchezaji huyo. Miamba hiyo ya Ujerumani wanatafuta mrithi wa mshambuliaji wao Bas Dost ambaye anataraji kuondoka klabuni hapo
Source: Daily Express
Monday, June 15, 2015 11:42
Monday, June 15, 2015 11:42
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni