STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 7 Juni 2015

WAKATI AKIJIANDA KUTUA CHELSEA, FALCAO ATUPIA BAO TAMU COLOMBIA WAKIIFUNGA COSTA RICA


Radamel Falcao amepiga bao pekee lililoiwezesha kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Costa Rica.


Mechi hiyo ilikuwa muhimu kwa kuwa Colombia walitaka ushindi kujiandaa na kucheza Copa America.

Falcao amekuwa hafanyi vizuri akiwa na Manchester United na Chelsea tayari imeonyesha nia ya kutaka kumsajili. Yeye pia ameonyesha yuko bomba ndiyo maana anatakiwa.
DAILY MAIL






Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox