STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 8 Agosti 2015

MABOSI WA SIMBA WAWAFUNGA WASANII 1-0, DYLAN KERR AFUNGA BAO PEKEE, HAJI MANARA KWENYE UBORA WAKE

Hajji Manara wa SImba akiwatoka wachezaji wa Wasanii

Wachezaji wa timu ya Viongozi wa Simba SC, wakimpongeza mwenzao Dylan Kerr baada ya kufunga bao pekee katika ushindi wa 1-0 dhidi ya timu ya Wasanii Tanzania Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam jioni hii katika mfululizo wa tamasha la Simba Day.


Muingereza Kerr ambaye ni kocha Mkuu wa SImba SC akitafuta maarifa ya kumtoka beki wa wasanii  


Beki wa Wasanii, M 2 The P akipambana na Kelvin wa Simba



Issa Batenga wa Simba SC akipambana na mchezaji wa Wasanii


Kocha wa Simba SC, Evans Aveva akiwa na benchi lake zima la Ufundi

KUTOKA KWA BIN ZUBEIR: 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox