STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 8 Agosti 2015

MAN UNITED YAANZA LIGI KWA USHINDI, WALKER AJIFUNGA

  
Manchester United imeanza Ligi Kuu England kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tottenham Hotspurs.


Shukurani kubwa, Man United inabidi wazitoe kwa beki Walker wa Spurs ambaye alijifunga wakati akipambana kumzuia Wayne Rooney asifunge baada ya krosi safi ya Memphis Depay.
Licha ya kuwa nyumbani, Old Trafford Man United ilizidiwa katika kipindi cha kwanza kabla ya kuzinduka mwishoni.

Kipindi cha pili, mwanzoni ikapambana vilivyo kabla ya kuzidiwa tena katika kipindi cha pili mwishoni.


VIKOSI VILIVYOKUWA:

Manchester  United iUnited (4-3-3): Romero; Darmian, Smalling, Blind, Shaw; Carrick, Memphis, Schneiderlin; Mata, Rooney, Young.
Subs: Johnstone, Valencia, McNair, Schweinsteiger, Herrera, Pereira, Hernandez.
Tottenham (4-2-3-1): Vorm; Walker, Alderweireld, Vertonghen, Davies; Bentaleb, Dier; Chadli, Eriksen, Dembele; Kane.
Subs: Lloris, Trippier, Wimmer, Alli, Carroll, Lamela, Mason.











Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox