STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 24 Agosti 2015

REFA AWABANIA ARSENAL GOLI, PETR CECH AIKOMBOA ARSENAL......

Aaron Ramsey fires the ball past Simon Mignolet however his effort was deemed to be offside by the Premier League officialsARSENAL wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Liverpool Uwanja wa Emirates, London usiku huu katika mchezo wa Ligi Kuu ya England.

Hata hivyo, Arsenal ilifanikiwa kupata bao lililofungwa na Aaron Ramsey dakika ya tisa, lakini marefa wakalikataa kwa sababu alikuwa ameotea.

Ramsey gestures to the assistant referee after his goal is wrongly disallowed during the Premier League clash in north London

Kipa Petr Cech aliokoa michomo miwili ya hatari ya Christian Benteke na Philippe Coutinho kipindi cha kwanza, huku Olivier Giroud naye akikosa bao la wazi.

Petr Cech reaches down to his left-hand side to push Benteke's close-range shot around the post and away for a cornerLiverpool wanamaliza mechi ya tatu bila kufungwa bao baada ya kushinda 1-0 mara mbili dhidi ya Stoke City na Bournemouth katika mechi zake mbili za awali za Ligi Kuu.  

Christian Benteke squanders a golden opportunity to put his side in the lead, while Nacho Monreal attempts to block his shot

Kikosi cha Arsenal kilikuwa; Cech, Bellerin, Chambers, Gabriel, Monreal, Coquelin/Oxlade-Chamberlain dk82, Ramsey, Ozil, Cazorla, Sanchez na Giroud/Walcott dk73.

Liverpool; Mignolet, Clyne, Lovren, Skrtel, Gomez, Can, Milner, Lucas/Rossiter dk76, Coutinho/Moreno dk88, Firmino/Ibe dk63 na Benteke.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox