STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 24 Agosti 2015

HENRY AMRUDIA WENGER KWA MARA NYINGINE, CARRAGHER AMUUNGA MKONO....

NAHODHA wa zamani wa Arsenal, Mfaransa Thierry Henry anaamini klabu hiyo inapaswa kutumia kipindi kilichobaki kabla ya dirisha la usajili kufungwa Septemba 2 kununua kiungo na mshambuliaji.

The Gunners ililazimishwa sare ya bilakufungana na Liverpool usiku wa jana, licha ya kutawala sana mchezo kipindi cha pili, huku kipa Petr Cech akiokoa michomo miwili ya hatari mno ya Christian Benteke na Philippe Coutinho kipindi cha kwanza.

Arsenal failed to find the back of the net for the in their first two home games for the first time since 1979

Henry anaamini timu yake hiyo ya zamani inahitaji kuongeza makali katika safu yake ya kiungo na ushambuliaji kama wanataka kugombea ubingwa wa Ligi Kuu ya Engand msimu huu, wazo ambalo liliungwa mkono na mchambuzi mwenzake wa Sky Sports, Jamie Carragher.

Olivier Giroud failed to trouble the Liverpool defence on Monday and was substituted after 73 minutes

"Nafikiri itakuwa wiki ya aina yake, watanunua mtu mmoja wa mbele au wa katikati ya Uwanja? Waliwakosa wachezaji wengi usiku huu (jana), bado wanahitaji kiungo mkabaji na bado wanahitaji mshambuliaji. Tumekuwa tukisema hivi tangu mwanzoni mwa msimu,"amesema Henry.

Giroud (left) was replaced by Theo Walcott with over 15 minutes left, but he also failed to hit the back of the net


Carragher akaongeza kwamba baada ya Arsenal kushindwa kufunga bao katika mechi zao mbili za kwanza nyumbani, hii ikiwa ni mara ya kwanza tangu mwaka 1979 na sare hiyo inamaanisha timu ya Mfaransa, Arsene Wenger imeshindwa kufunga bao katika mechi zake tano zilizopita za Ligi Kuu ya England nyumbani.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox