Katika 10 Bora, Mabingwa wa Dunia Germany wameshuka Nafasi 1 na kushika Nafasi ya 3 huku
Timu ya juu kabisa toka Barani Afrika ni Algeria ambayo ipo pale pale Nafasi ya 19 na kufuatiwa na Ivory Coast waliobakia Nafasi ya 21.
10 BORA: 1. Argentina
2. Belgium
3. Germany
4. Colombia
5. Brazil
6. Portugal
7. Romania
8. England
9. Wales
10. Chile


Hakuna maoni:
Chapisha Maoni