STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 27 Novemba 2015

CABALLERO ATAMBA KUZIBA PENGO LA HART.

GOLIKIPA wa akiba wa Manchester City Willy Caballero ana uhakika anaweza kuziba nafasi ya Joe Hart kama ya majeruhi ya kipa huyo namba moja wa Uingereza aliyopata katika mchezo dhidi ya Juventus Jumatano yatamuweka nje katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Southampton. 
Hart alipata majeruhi ya msuli wa paja katika mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya na kutolewa nje kumpisha Caballero katika dakika ya 81 na kuna uwezekano pia wa kuukosa mchezo wa kesho. 
Akihojiwa Caballero amesema hajapenda Hart aumie lakini anapaswa kujiandaa kwasababu hayo ndio maisha ya kipa wa akiba. Caballero aliendelea kudai kuwa ni vizuri kucheza michezo kadhaa mfululizo lakini hilo litategemea na jinsi hali ya Hart itakavyokuwa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox