STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 4 Novemba 2015

MICHUANO YA KOMBE LA SHIRIKISHO KUANZA NOVEMBA 8............




 MICHUANO ya Kombe la Shirikisho ya Azam Sports inafunguliwa rasmi Jumapili (Novemba 8, 2015) kwa mechi tatu zitakazochezwa kwenye viwanja vitatu tofauti.
 
Mechi rasmi ya ufunguzi itakuwa kati ya wenyeji JKT Rwamkoma ya Mara na Villa Squad ya Dar es Salaam itakayofanyika kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume mjini Musoma.

 
Siku hiyo pia kutakuwa na mechi kati ya Kariakoo ya Lindi na Changanyikeni FC ya Dar es Salaam itakayochezwa kwenye Uwanja wa Ilulu mjini Lindi, wakati Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya utakuwa mwenyeji wa mechi kati ya Wenda FC ya Mbeya na Madini SC ya Arusha.

 
Bingwa wa michuano hiyo inayodhaminiwa na Azam Sports HD ataiwakilisha Tanzania kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika mwaka 2017.



 
RAUNDI YA KWANZA KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM
 
Novemba 8, 2015
Kariakoo Vs Changanyikeni
Wenda FC Vs Madini FC
JKT Rwankoma Vs Villa Squad
 
Novemba 10, 2015
Sabasaba FC Vs Abajalo Tabora
Milambo Fc Vs The Mighty Elephant
 
Novemba 11, 2015
Mkamba Rangers Vs Mvuvumwa
Singida United Vs Bulyakhulu SC
Abajalo Dar Vs Transit Camp
 
Novemba 21, 2015
Pamba SC Vs Polisi Dodoma
AFC Vs Polisi Mara
 
Novemba 22, 2015
Panone Fc Vs Cocacola Kwanza
Magereza Iringa Vs Polisi Dar
 
Novemba 23, 2015
Polisi Tabora Vs Green Warriors
 
Novemba 24, 2015
Rhino Rangers Vs Alliance
 
Novemba 25, 2015
Ruvu Shooting Vs Cosmopolitan
 
Novemba 26, 2015
Polisi Moro Vs Mshikamano

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox