STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 1 Desemba 2015

LIKE FATHER,LIKE SON ? MTOTO WA ZIDANE AMPIGA KICHWA MCHEZAJI WA ATLETICO MADRID.............

  Zinedine Zidane's son, Luca, sent off in a heated Madrid derby for wild kick-out... but it
Kikosi cha Real Madrid cha vijana chini ya miaka 17 kilipoteza mchezo wake katika ligi ambayo hushirikisha vijana chini ya miaka 17 nchini Hispania mbele ya watani wao wa jadi Athletico Madrid.

Luca Zidane (centre) puts his head towards the Atletico Madrid player as tensions rose in the derby Luca Zidane (katikati) alievaa jezi ya kijani akimpiga kichwa mchezaji wa Atletico Madrid
 
Katika mchezo huo ambao ulikuwa wa kusisimua ulishuhudia mtoto wa gwiji wa zamani wa timu ya taifa ya Ufaransa na klabu ya Real Madrid ambaye kwa sasa ni kocha msaidizi, Luca Zidane ambae ni golikipa wa kikosi cha vijana alimpiga kichwa mchezaji wa Atletico Madrid.

The pair go towards each other despite team-mates getting in between them 
Tukio hilo ambalo liliwashangaza wengi na kukumbuka tukio ambalo alilifanya baba wa Luca,Zinedine Zidane katika kombe la dunia mwaka 2006 nchini Ujerumani baada ya kumpiga kichwa mchezaji wa timu ya taifa ya Italia,Marco Materrazi kitendo ambacho kilisababisha apewe kadi nyekundu.

Zidane akimpiga kichwa Materrazi 2006

Luca amefananishwa na Baba yake kwa kitendo hicho kilicho pelekea kupewa kadi nyekundu na kuacha timu yake kufungwa magoli 4-2.

The young goalkeeper was sent off and Real suffered a 4-2 defeat to their arch-rivals 
Zinedine Zidane kwa sasa ni kocha msaidizi wa Real Madrid lakini pia watoto wake wanne wanachezea Real Madrid, kuna Enzo ambae ni nahodha wa kikosi B kikifahamika kama Castilla,Luca akiwa kikosi cha vijana chini ya miaka 17 huku Theo na Elyaz wakiwa katika akademi.

Enzo Zidane is captain of the Real Castilla and is highly-rated at the Spanish club
Enzo


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox