STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 30 Novemba 2015

BARCELONA WAFUNIKA TUZO ZA LA-LIGA,MESSI KAMA KAWA......................

November 30 2015 ilikuwa ni siku ambayo FIFA walitangaza majina ya wachezaji soka watatu waliofanikiwa kuingia katika fainali ya kuwania tuzo ya Ballon d’Or 2015, pamoja na kutaja magoli matatu bora yanayowania tuzo ya goli bora la mwaka na majina matatu ya wanaowania tuzo ya kocha bora wa mwaka.
8621bc15-f47f-43fc-8a7b-21e186206a29
Ukumbi ambao zimetolewa tuzo za LALIGA za msimu wa 2014/2015

ef381e50-047f-47bf-a41e-0d3749dc1190
Baadhi ya watu waliohudhuria tuzo hizo
60389d47-50ee-4d99-ba7b-3ae2124560fd
Diego Simeone kocha wa Atletico Madrid ni miongo mwa watu waliohudhuria wa pili kutoka kushoto.
e010d4d9-7d39-4012-934c-7ac2d35075f0
Wadau wa soka katika Red Carpet dakika chache kabla ya utolewaji wa tuzo haujaanza.
7642a455-5289-426a-a220-0c4555cb032c
Sergio Ramos na shabiki
15be6253-5c01-4101-9ada-ac658ae981a7
Red Carpet wadau katika picha ya pamoja
CVFocOqXAAAxEFF
Neymar akiwasili ukumbini na kupiga picha kabla ya utolewaji wa tuzo kuanza
CVFocOzWIAA4rbM
Golikipa wa FC Barcelona Claudio Bravo
CVFocOqWoAE36Db
Lionel Messi akiwasili ukumbini
9356b98b-3112-4863-b4fe-587cd148e2b1
Kocha wa FC Barcelona Luis Enrique ndio aliibuka mshindi wa tuzo ya kocha bora
7e30e58d-082a-404c-92f5-8176e00bc0f7
Aliyekuwa kiungo wa FC Barcelona Xavi Hernandes alitajwa kuwa kiungo bora.
186fb4ec-0573-4242-91fe-2df3f6cb3a7c
Claudio Bravo wa FC Barcelona alitangazwa kuwa golikipa bora wa msimu
c7ad0f37-408d-4661-b233-8c156c30f0e9
Beki bora alikuwa ni Sergio Ramos wa Real Madrid
CVF40uBWcAAAHRf
Neymar alitwaa tuzo ya mchezaji bora kutoka bara la America
2d95515d-d435-4358-87c9-7bf7c701e224
James Rodriguez wa Real Madrid alitangazwa kuwa kiungo bora wa msimu
CVF49jfWwAQjp_7
Claudio Bravo akiwa na tuzo yake ya golikipa bora
CVGEyvCWUAA8wJw
Lionel Messi akiwa na tuzo yake ya mchezaji bora wa msimu wa 2014/2015 lakini ameshinda tuzo mbili na mshambuliaji bora wa msimu huo.
img_edmartinez_20151130-234815_imagenes_md_otras_fuentes_no_archivables_w_ba9822fe9c30233456a23-kxY--911x683@MundoDeportivo-Web
Baadhi ya washindi katika picha ya pamoja


                   ORODHA YA WALIOCHUKUA TUZO

 Best Goalkeeper: Claudio Bravo (Barcelona)
Best Defender: Sergio Ramos (Real Madrid)
Best Midfielder: James Rodriguez (Real Madrid)
Best Forward: Lionel Messi (Barcelona)
Best Coach: Luis Enrique (Barcelona)
Best African: Sofiane Feghouli (Valencia)
Best South American: Neymar (Barcelona)
Fans' Player: Cristiano Ronaldo (Real Madrid)
Best Player: Lionel Messi (Barcelona)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox