
November 30 2015 ilikuwa ni siku ambayo FIFA walitangaza majina ya wachezaji soka watatu waliofanikiwa kuingia katika fainali ya kuwania tuzo ya Ballon d’Or
2015, pamoja na kutaja magoli matatu bora yanayowania tuzo ya goli bora
la mwaka na majina matatu ya wanaowania tuzo ya kocha bora wa mwaka.

Lionel
Messi akiwa na tuzo yake ya mchezaji bora wa msimu wa 2014/2015 lakini
ameshinda tuzo mbili na mshambuliaji bora wa msimu huo.

Baadhi ya washindi katika picha ya pamoja
ORODHA YA WALIOCHUKUA TUZO
Best Goalkeeper: Claudio Bravo (Barcelona)
Best Defender: Sergio Ramos (Real Madrid)
Best Midfielder: James Rodriguez (Real Madrid)
Best Forward: Lionel Messi (Barcelona)
Best Coach: Luis Enrique (Barcelona)
Best African: Sofiane Feghouli (Valencia)
Best South American: Neymar (Barcelona)
Fans' Player: Cristiano Ronaldo (Real Madrid)
Best Player: Lionel Messi (Barcelona)
Best Defender: Sergio Ramos (Real Madrid)
Best Midfielder: James Rodriguez (Real Madrid)
Best Forward: Lionel Messi (Barcelona)
Best Coach: Luis Enrique (Barcelona)
Best African: Sofiane Feghouli (Valencia)
Best South American: Neymar (Barcelona)
Fans' Player: Cristiano Ronaldo (Real Madrid)
Best Player: Lionel Messi (Barcelona)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni