STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 5 Desemba 2015

MAHAKAMA YAMUHUKUMU JAVIER MASCHERANO......................



Klabu ya FC Barcelona imekuwa na historia ya kuhusishwa na ukwepaji kodi mbalimbali kupitia wachezaji wake maarufu, akiwemo Lionel Messi, Neymar na Javier Mascherano, na hatimaye jana mahakama moja nchini Hispania imetoa hukumu ya kwenda Jela kwa mmoja wa mastaa wao.

Story ya Javier Mascherano na kesi ya ukwepaji kodi imefikia tamati. 

Kama ilivyotegemewa, Muargentina huyo sasa itabidi alipe kiasi kikubwa cha faini baada ya kukubali kosa ya kukwepa kodi mwanzoni mwa mwaka. 

Mascherano ameamriwa kulipa faini ya €816,000 (£588,000), ambayo ni fedha nyingi sana – ukizingatia mchezaji huyo analipwa £130,000 kabla ya kodi.

Mchezaji huyo pia amehukumia kifungo cha mwaka mmoja jela, lakini kama ilivyo kesi za watu wengi maarufu – Mascherano hatokwenda jela baada ya mawakili wake kufikia makubaliano maalum na mahakama na aaendesha mashtaka.

Tukio hilo limejiri huku Barcelona wakikabiliana na mchezo mgumu kule Mestalla watakapo wafuata Valencia. 

 TAKWIMU MCHEZO WA LEO VALENCIA VS  BARCELONA

 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox