STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 8 Desemba 2015

MESSI AAMUA KUANDIKA UJUMBE KUKUMBUKA MCHANGO WA RONALDINHO...............


Mshambuliaji nyoita wa Barcelona, Lionel Messi ameonyesha mapenzi makubwa kwa nyota mwingine wa zamani wa timu hiyo, Ronaldinho.

Messi amechukua jezi yake namba 10 na kuandika ujumbe mzuri wa kuonyesha shukurani kwa Ronaldinho ambaye walicheza wote Barcelona katika timu kubwa kuanzia mwaka 2004 hadi 2008.
 

Wakati huo Ronaldinho ndiye alikuwa mchezaji nyota zaidi na Messi ameonyesha kufurahishwa na namna Mbrazil huyo alivyomuunga mkono wakati akikua kisoka wakati akipanda timu ya wakubwa akiwa na miaka 16.

Baadaye kupitia mtandao wa Instagram, Ronaldinho ,36, alionyesha kuwa ameipokea jezi hiyo kama zawadi bora kabisa kwake. Ronaldinho ndiye aliyemrithisha Messi jezi namba 10.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox