STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 8 Desemba 2015

FERGUSON ATUPA DONGO KWA ROMAN ABRAMOVICH....................

kocha wa zamani wa Manchester United Sir Alex Ferguson amefunguka kuhusu Mourinho ni baada ya stori zinazoendelea kusambaa kuhusu Chelsea kuwa na mpango wa kumtimua kocha Jose Mourinho baada ya timu hiyo kutokufanya vizuri.

ferguson 2
Baada ya hizo fununu za Mourinho kutimuliwa kumfikia na kocha wa zamani wa Manchester United Sir Alex Ferguson, amesema yafuatayo 

>>> ‘Tajiri wa Chelsea amefukuza makocha wengi sana ndani ya miaka kumi iliyopita na nina uhakika amejifunza kwa kipindi hicho’
mourinho
Ferguson anaendelea kwa kusema 

Anatakiwa kujua hiki ni kipindi cha mpito tu kinapita na awe na imani na Mourinho kwamba atakaa sawa tu, hainishawishi kumfukuza kazi mmoja wa makocha bora wa wakati wote.. 

ameshinda makombe ya Ulaya mara mbili, ameshinda ligi kwenye kila nchi alikofundisha timu, itakua ni ujinga kumfukuza Mourinho kazi, itaonyesha kabisa wewe ni bosi mbovu usiejua nini cha kufanya’

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox