STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 3 Desemba 2015

MWAMUZI ALIYETIWA "VITASA" NA MASHABIKI AFUNGIWA....


MWAMUZI wa Thailand ambaye alishambuliwa na mashabiki wenye hasira wa klabu ya ligi daraja la tatu kufuatia kufungwa, amefungiwa miezi sita kutokana na uchezeshaji mbaya katika mchezo huo.
 
 Mwamuzi huyo Pichit Thongchanmoon alivamiwa na mashabiki wa timu ya Satun United kufuatia kufungwa bao bao 1-0 nyumbani na Khoh Kaen United Novemba 22 mwaka huu.
 
 Satun walifungiwa miaka mitatu wiki iliyopita kwa tukio hilo lakini kamati ya Chama cha Soka cha Thailand imesema Pichit alifanya makosa kadhaa katika mchezo huo na kumlima adhabu hiyo. 
 
Kamati hiyo imesema Pichit alitakiwa kuipa Satun penati na kuwa mwamuzi huyo alikuwa mbali na eneo husika mara nyingi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox