STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 7 Desemba 2015

Simba, Yanga, Azam, Mtibwa kushiriki kombe la Mapinduzi


Mabingwa wa
Mabingwa wa tetezi

Vilabu vya Simba, Azam, Yanga na Mtibwa Sugar vinatarajiwa kushiriki katika mashindano ya Kombe la Mapinduzi yatakayoanza kutimua vumbi Januari Mosi hadi 14, mmwezi ujao visiwani Zanzibar.

Timu hizo zimeteuliwa kushiriki michuano hio na chama cha kandanda visiwani Zanzibar, ZFA na kupata baraka za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).

Katibu Mkuu wa chama cha kandanda Zanzibar (ZFA) Khasim Salum, amesema kuna uwezekano mdogo wa kualika timu za nje ya nchi na kuongezea kuwa hadi sasa maandalizi yamefikia hatua nzuri.
Yanga
Simba ndio mabingwa watetezi wa Kombe la Mapinduzi baada ya kumfunga Mtibwa Sugar kwa mikwaju ya penati.

Ushiriki wa Azam, Simba , Mtibwa na Yanga kwenye Kombe la Mapinduzi unamaanisha Ligi Kuu Vodacom Tanzania Bara itasimama hadi tarehe 16 mwezi wa kwanza, jambo ambalo lilianishwa kwenye ratiba iliyotolewa na TFF.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox