STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 25 Desemba 2015

TIMU 20 ENGLAND, NANE ZINAMILIKIWA NA WAINGEREZA, 12 ZILIZOBAKI WANAMILIKI WAGENI...................



Ligi Kuu England kuna timu 20, kati ya hizo nane zinamilikiwa na wafanyabiashara kutoka England na 12 zilizobaki ni wafanyabiashara kutoka nchi mbalimbali dunia.

Wamarekani wanamiliki timu nane zikiwemo Manchester United na Arsenal huku Warusi wakifuatia kwa kumiliki timu mbili ambazo ni Chelsea na Bornemouth.

Inawezekana ndani ya klabu kukawa na wamiliki wengine, lakini wanaotajwa ni wale wenye hisa kubwa zaidi ambao huitwa wamiliki wakuu.
 Tokeo la picha la money
 

England (8)
Crystal Palace (Steve Parish), Everton (Bill Kenwright), Newcastle (Mike Ashley), Norwich (Delia Smith & Michael Wynn-Jones — England/Wales), Stoke (Coates family), Tottenham (Joe Lewis), West Brom (Jeremy Peace), West Ham (David Sullivan & David Gold)

Marekani (5):
Arsenal (Stan Kroenke), Aston Villa (Randy Lerner), Liverpool (John W Henry) Man Utd (Glazer family), Sunderland (Ellis Short).

Russia (2):
 Bournemouth (Maxim Demin), Chelsea (Roman Abramovich).

Wales (1) Swansea (Morgan family)
Italy (1) Watford (Gino Pozzo).
Switzerland (1) Southampton (Katharina Liebherr).
Thailand (1) Leicester (Srivaddhanaprabha family).
UAE (1) Man City (Sheik Mansour).

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox