STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 13 Desemba 2015

TP MAZEMBE YAANGUKIA PUA MBELE YA WAJAPAN.............................

Michuano ya klabu Bingwa Dunia ilianza December 10 2015 katika ardhi ya Japan, hii ni michuano ambayo inatafuta Bingwa wa Dunia kwa ngazi ya vilabu, kwa upande wa bara la Afrika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndio ilikuwa inawakilisha bara hili.
Generated by IJG JPEG Library
TP Mazembe ambayo inachezewa na watanzania wawili Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu, ilianza kucheza michuano hiyo December 13 katika hatua ya robo fainali dhidi ya klabu ya Sanfrecce na kukubali kipigo cha goli 3-0, huu ni mchezo ambao watanzania wengi walikuwa wanautazama, kwani Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu  wameweka rekodi ya kuwa watanzania wa kwanza kushiriki michuano hiyo.
Generated by IJG JPEG Library
Sanfrecce walianza kupata goli la kwanza dakika ya 44 kupitia kwa Shiotani ikiwa ni dakika moja imesalia kabla ya kwenda mapumziko. TP Mazembe walijitahidi kutafuta goli la kusawazisha ila dakika ya 56 kipindi cha pili Chiba akapachika goli la pili kwa Sanfrecce, licha ya TP Mazembe kutokata tamaa, goli la dakika ya 78 la Asano ndio lilihitimisha safari ya TP Mazembe kwenda hatua ya nusu fainali.
Generated by IJG JPEG Library
Generated by IJG JPEG Library

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox