STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 31 Mei 2016

HABARI KUBWA TANO ZA KIMICHEZO;ARGENTINA KUJITOA COPA AMERICA,RASHFORD RASMI EURO.................

Marcus Rashford and Daniel Sturridge named in UEFA Euro 2016 England squad

CHIPUKIZI wa Manchester United, Marcus Rashford ameitwa katika kikosi cha mwisho cha wachezaji 23 wa timu ya taifa ya Uingereza ambao watakwenda kushiriki michuano ya Euro 2016 huko Ufaransa. 
Rashford mwenye umri wa miaka 18, alifunga bao katika mechi yake ya kwanza ya kimataifa wakati Uingereza waliposhinda mabao 2-1 dhidi ya Australia katika mchezo wa kirafiki uliofanyika Ijumaa iliyopita.
 Mshambuliaji wa Liverpool Daniel Sturridge naye pia amejumuishwa lakini Andros Townsend wa Newcastle United na Danny Drinkwater wa Leicester City wote wameachwa katika kikosi hicho. 
Uingereza inatarajiwa kuchuana na Ureno katika mchezo wa kujipima nguvu kabla ya kuanza kwa michuano hiyo ambapo wanatarajiw akupambana na Urusi Juni 11 mwaka huu.
 

Kikosi kamili ni
 
Kipa: Joe Hart (Manchester City), Fraser Forster (Southampton), Tom Heaton (Burnley).

Mabeki: Gary Cahill (Chelsea), Chris Smalling (Manchester United), John Stones (Everton), Kyle Walker (Tottenham Hotspur), Ryan Bertrand (Southampton), Danny Rose (Tottenham Hotspur), Nathaniel Clyne (Liverpool).

Viungo: Dele Alli (Tottenham Hotspur), Ross Barkley (Everton), Eric Dier (Tottenham Hotspur), Jordan Henderson (Liverpool), Adam Lallana (Liverpool), James Milner (Liverpool), Raheem Sterling (Manchester City), Jack Wilshere (Arsenal).

Washambuliaji: Wayne Rooney (Manchester United), Harry Kane (Tottenham Hotspur), Jamie Vardy (Leicester City), Daniel Sturridge (Liverpool), Marcus Rashford (Manchester United).

MARCO REUS ATEMWA KIKOSI CHA UJERUMANI.

KOCHA wa timu ya taifa ya Ujerumani, Joachim Low amemuacha mshambuliaji wa Borussia Dortmund Marco Reus katika kikosi chake cha mwisho cha wachezaji 23 kwa ajili ya michuano ya Euro 2016. 
Low alitangaza kikosi chake huku mbali na kumuacha Reus lakini pia amewaacha Karim Bellarabi na Julian Brandt wa Bayer Leverkusen na Sebastian Rudy wa Hoffenheim. 
Nyota hao wanne sasa wanatarajiwa kuondoka katika kambi ya timu hiyo huo Uswisi. 
Ujerumani itacheza mechi yake ya mwisho ya kujipima nguvu dhidi ya Hungary kabla ya kucheza mechi yao ya ufunguzi wa michuano ya Euro 2016 dhidi ya Ukraine.
 

Kikosi kamili ni
 
Makipa: Manuel Neuer (Bayern Munich), Bernd Leno (Bayer Leverkusen), Marc-Andre ter Stegen (Barcelona)

Mabeki: Jerome Boateng (Bayern Munich), Emre Can (Liverpool), Jonas Hector (Cologne), Benedikt Howedes (Schalke), Mats Hummels (Borussia Dortmund), Shkodran Mustafi (Valencia), Antonio Rudiger (Roma)

Viungo: Julian Draxler (Wolfsburg), Mario Gotze (Bayern Munich), Sami Khedira (Juventus), Joshua Kimmich (Bayern Munich), Toni Kroos (Real Madrid), Mesut Ozil (Arsenal), Leroy Sane (Schalke), Bastian Schweinsteiger (Manchester United), Julian Weigl (Borussia Dortmund)

Washambuliaji: Mario Gomez (Besiktas), Thomas Muller (Bayern Munich), Lukas Podolski (Galatasaray), Andre Schurrle (Wolfsburg)

                                    SENDEROS AACHWA TIMU YA TAIFA.

BEKI wa zamani wa Arsenal, Philippe Senderos ambaye amekuwa akihangaika kurejea katika kiwango chake katika misimu ya karibuni, ameachwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Uswisi kwa ajili ya michuano ya Euro 2016. 
Senderos ambaye ametumia muda mwingi msimu uliopita akiwa na timu yake ya nyumbani ya Grasshopper Zurich, alishindw akuonyesha uwezo wake wakati Uswisi walipotandikwa mabao 2-1 na Ubelgiji katika mchezo wa kirafiki wa kujipima nguvu.
 Kocha wan chi hiyo Vladimir Petkovic ameamua kumuacha beki huyo mwenye umri wa miaka 31 pamoja an wasiwasi uliopo katika safu ya ulinzi kutokana na Timm Klose na Johan Djourou kuwa nje kutokana na majeruhi.
 Beki wa Udenese Silvan Widmer na kiungo wa basel Luca Zuffi ambye ameonyesha uwezo mkubwa msimu huu pia wamekatwa katika kikosi hicho. 
Uswisi inatarajiw akucheza na Moldova katika mechi yake ya mwisho ya kujipima nguvu Ijumaa hii kabla ya kuvaana na Albania, Romania na wenyeji Ufaransa katika kundi A.

Kikosi Kamili ni
 
Makipa: Yann Sommer (Borussia Monchengladbach), Roman Burki (Borussia Dortmund), Marwin Hitz (Augsburg)

Mabeki: Stephan Lichtsteiner (Juventus), Nico Elvedi (Borussia Monchengladbach), Michael Lang (Basel), Johan Djourou (Hamburg), Steve von Bergen (Young Boys), Fabian Schar (Hoffenheim), Francois Moubandje (Toulouse), Ricardo Rodriguez (Wolfsburg)

Viungo: Valon Behrami (Watford), Blerim Dzemaili (Genoa), Gelson Fernandes (Rennes), Fabian Frei (Mainz), Granit Xhaka (Arsenal), Xherdan Shaqiri (Stoke City), Renato Steffen (Basel), Denis Zakaria (Young Boys)

Washambuliaji: Breel Embolo (Basel), Haris Seferovic (Eintracht Frankfurt), Admir Mehmedi (Bayer Leverkusen), Eren Derdiyok (Kasimpasa), Shani Tarashaj (Everton)

NAVAS KUIKOSA COPA AMERICA. GOLIKIPA wa kimataifa wa Costa Rica na klabu ya Real Madrid, Keylor Navas anatarajiwa kuikosa michuano maalumu ya Copa Amerika kwasababu ya majeruhi ya kisigino. Majeruhi hayo aliyopata katika mguu wake wa kushoto yalimfanya kuukosa michezo muhimu ya Madrid mwishoni mwa msimu. Jana Shirikisho la Soka la Costa Rica-FEDEFUTBOL, lilithibitisha taarifa za kumuondoa nyota huyo na nafasi yake kuchukuliwa na kipa Deportivo Saprissa Danny Carvajal. Navas anatarajiwa kutafuta mtaalamu atakayetibu tatizo lake hilo ambalo pia lilimkosesha michuano ya michuano ya Kombe la CONCACAF Gold mwaka jana. Kukosekana kwa Navas na mshambuliaji nyota Ariel Rodriquez ni pigo kubwa kwa Costa Rica ambao wamepangwa katika kundi A sambamba na Marekani, Paraguay na Colombia. Posted by beki3 at 6:17 AM No comments: Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest ARGENTINA YATISHIA KUJITOA COPA AMERICA. CHAMA cha Soka cha Argentina-AFA kimetishia kujitoa katika michuano maalumu ya Copa America baada ya kuituhumu serikali ya nchi yao kwa kuwaingilia. Argentina ni moja ya timu zinazopewa naafsi ya kufanya vizuri katika michuano hiyo itakayofanyika nchini Marekani huku wakitarajiwa kucheza mechi yao ya kwanza dhidi ya mabingwa watetezi Chile huko Santa Clara, California Juni 7 mwaka huu. Hata hivyo, AFA wamezusha wasiwasi wa kutokuwepo kwa mchezo huo baada ya serikali ya Argentina kusimamisha uchaguzi wa chama hicho ambao ulikuwa ufanyike Juni 30 na kuteua tume maalumu ya kuchunguza tuhuma za ubadhilifu wa mapato ya luninga. Katibu Mkuu wa AFA, Damian Dupiellet amesema mkutano wa dharura wa bodi ndio utakaoamua kama timu yao ya taifa itashiriki michuano hiyo au itarudishwa nyumbani kutoka katika kambi yao huko Marekani.

Make Money Online : http://ow.ly/KNICZ

                                       NAVAS KUIKOSA COPA AMERICA.

GOLIKIPA wa kimataifa wa Costa Rica na klabu ya Real Madrid, Keylor Navas anatarajiwa kuikosa michuano maalumu ya Copa Amerika kwasababu ya majeruhi ya kisigino. 
Majeruhi hayo aliyopata katika mguu wake wa kushoto yalimfanya kuukosa michezo muhimu ya Madrid mwishoni mwa msimu.
 Jana Shirikisho la Soka la Costa Rica-FEDEFUTBOL, lilithibitisha taarifa za kumuondoa nyota huyo na nafasi yake kuchukuliwa na kipa Deportivo Saprissa Danny Carvajal. 
Navas anatarajiwa kutafuta mtaalamu atakayetibu tatizo lake hilo ambalo pia lilimkosesha michuano ya michuano ya Kombe la CONCACAF Gold mwaka jana.
 Kukosekana kwa Navas na mshambuliaji nyota Ariel Rodriquez ni pigo kubwa kwa Costa Rica ambao wamepangwa katika kundi A sambamba na Marekani, Paraguay na Colombia.

                         ARGENTINA YATISHIA KUJITOA COPA AMERICA.

CHAMA cha Soka cha Argentina-AFA kimetishia kujitoa katika michuano maalumu ya Copa America baada ya kuituhumu serikali ya nchi yao kwa kuwaingilia. 
Argentina ni moja ya timu zinazopewa naafsi ya kufanya vizuri katika michuano hiyo itakayofanyika nchini Marekani huku wakitarajiwa kucheza mechi yao ya kwanza dhidi ya mabingwa watetezi Chile huko Santa Clara, California Juni 7 mwaka huu. 
Hata hivyo, AFA wamezusha wasiwasi wa kutokuwepo kwa mchezo huo baada ya serikali ya Argentina kusimamisha uchaguzi wa chama hicho ambao ulikuwa ufanyike Juni 30 na kuteua tume maalumu ya kuchunguza tuhuma za ubadhilifu wa mapato ya luninga. 
Katibu Mkuu wa AFA, Damian Dupiellet amesema mkutano wa dharura wa bodi ndio utakaoamua kama timu yao ya taifa itashiriki michuano hiyo au itarudishwa nyumbani kutoka katika kambi yao huko Marekani.
The Copa America final will be held at New Jersey's MetLife Stadium on the night of Sunday June 26
NAVAS KUIKOSA COPA AMERICA. GOLIKIPA wa kimataifa wa Costa Rica na klabu ya Real Madrid, Keylor Navas anatarajiwa kuikosa michuano maalumu ya Copa Amerika kwasababu ya majeruhi ya kisigino. Majeruhi hayo aliyopata katika mguu wake wa kushoto yalimfanya kuukosa michezo muhimu ya Madrid mwishoni mwa msimu. Jana Shirikisho la Soka la Costa Rica-FEDEFUTBOL, lilithibitisha taarifa za kumuondoa nyota huyo na nafasi yake kuchukuliwa na kipa Deportivo Saprissa Danny Carvajal. Navas anatarajiwa kutafuta mtaalamu atakayetibu tatizo lake hilo ambalo pia lilimkosesha michuano ya michuano ya Kombe la CONCACAF Gold mwaka jana. Kukosekana kwa Navas na mshambuliaji nyota Ariel Rodriquez ni pigo kubwa kwa Costa Rica ambao wamepangwa katika kundi A sambamba na Marekani, Paraguay na Colombia. Posted by beki3 at 6:17 AM No comments: Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest ARGENTINA YATISHIA KUJITOA COPA AMERICA. CHAMA cha Soka cha Argentina-AFA kimetishia kujitoa katika michuano maalumu ya Copa America baada ya kuituhumu serikali ya nchi yao kwa kuwaingilia. Argentina ni moja ya timu zinazopewa naafsi ya kufanya vizuri katika michuano hiyo itakayofanyika nchini Marekani huku wakitarajiwa kucheza mechi yao ya kwanza dhidi ya mabingwa watetezi Chile huko Santa Clara, California Juni 7 mwaka huu. Hata hivyo, AFA wamezusha wasiwasi wa kutokuwepo kwa mchezo huo baada ya serikali ya Argentina kusimamisha uchaguzi wa chama hicho ambao ulikuwa ufanyike Juni 30 na kuteua tume maalumu ya kuchunguza tuhuma za ubadhilifu wa mapato ya luninga. Katibu Mkuu wa AFA, Damian Dupiellet amesema mkutano wa dharura wa bodi ndio utakaoamua kama timu yao ya taifa itashiriki michuano hiyo au itarudishwa nyumbani kutoka katika kambi yao huko Marekani.

Make Money Online : http://ow.ly/KNICZ

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox