STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 4 Mei 2016

MATUKIO MUHIMU USHINDI WA REAL MADRID DHIDI YA MANCHESTER CITY..................

 Cristiano Ronaldo was lucky not to be booked for his handball, as referee started well but

Manchester City wameshindwa kufika katika fainali za kwanza za klabu bingwa barani Ulaya (UEFA) baada ya kutolewa na mabingwa mara 10 wa michuano hiyo Real Madrid katika mchezo uliokua wa kuvutia tena wa aina yake. Walichapwa 1-0.

 

Baada ya kutokuwa na ushindi wowote katika mzunguko wa kwanza, Real Madrid walianza kuongoza kipindi cha kwanza kufuatia mpira wa krosi uliopigwa na Gareth Bale kumbabatiza kiungo wa City Fernando na kuingia nyavuni.

 Fernando's own goal featured an element of bad luck for City, but was equally the result of their defensive blunders in the build-up

Real waliutawala mchezo huku mpira wa kichwa uliopigwa na Bale ukigonga mwamba na baadaye mlinda mlango wa City Joe Hart akiondoa mikwaju ya Luka Modric na Cristiano Ronaldo.

Real Madrid's Spanish midfielder Isco takes on Bacary Sagna as the home side took control of the second leg
Klabu hiyo ya Uingereza ilikuwa ikihitaji bao moja muhimu la ugenini hususan katika dakika za lala salama kuelekea fainali,lakini hilo halikuweza kufanikiwa licha ya kushangiliwa na mashabiki wake wapatao 4,500.

 Germany star Toni Kroos swings over a dangerous Real Madrid free kick as the home side pushed for a second goal to wrap up the tie

Madrid walipata wakati mgumu kidogo pale mkwaju mkali wa Sergio Aguero ulipogonga nyavu za juu za lango la Madrid. 

 Sergio Aguero looks to get a shot away, but is blocked by Pepe, during what was a rare early attack for the visiting side

Real sasa watakutana na Atletico katika uwanja wa San Siro tar 28 Mei, hii ikiwa ni kama marudio ya fainali za mwaka 2014 ambapo Real walishinda kwa mabao 4-1 baada ya muda wa nyongeza.

 Real Madrid gave City their hats and coats, shook hands, thanked them for coming, sent them on their way - now they face Atletico

 Real Madrid wameingia fainali ya  14 katika michuano ya vilabu bingwa barani Ulaya  ,European Cup/Champions League,ikiwa ni rekodi na kufanikiwa kutwaa taji mara 10.


                                              Bale is mobbed by his Real Madrid team-mates Dani Carvajal and Luka Modric after playing a crucial part in the tie's only goal

                              MATCH FACTS

Real Madrid (4-3-3): Navas 7.5; Carvajal 7, Pepe 7.5, Ramos 8, Marcelo 7; Modric 8 (Kovacic 88 mins), Kroos 7, Isco 7.5 (Rodriguez 68, 6); Bale 8, Ronaldo 7.5, Jese 7.5 (Vasquez 56, 6)

Subs not used: Casilla, Varane, Danilo, Mayoral 

Booked: Lucas 

Goal: Fernando (og) 20
Manager: Zidane 7.5


Manchester City (4-2-3-1): Hart 7; Sagna 6, Kompany (Mangala 10, 5.5), Otamendi 6.5, Clichy 6.5; Fernando 6.5, Fernandinho 6.5; Navas 6 (Iheanacho 69, 6), Toure 5.5 (Sterling 61, 6), De Bruyne 6; Aguero 6

Subs not used: Caballero, Kolarov, Delph, Bony
Booked: De Bruyne, Fernando, Otamendi
Manager: Pellegrini 6

MOTM: Bale 
Referee: Damir Skomina (Slovenia) 6
Attendance: 78,300

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox