STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 30 Mei 2016

MICHO AWAONYESHA SIMBA WAMEKOSEA KUMUACHA JUUKO.................

 
BEKI aliyetupiwa virago Simba SC ya Tanzania, Juuko Murshid amejumuishwa katika kikosi cha mwisho cha Uganda cha wachezaji 19 kwa ajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Zimbabwe kesho.
 
Kikosi cha The Cranes kimeondoka asubuhi ya leo Kampala kwenda Harare kwa mchezo wa kirafiki na wenyeji, Zimbabwe kabla ya kumenyana na Botswana katika mchezo wa kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika mwishoni mwa wiki.
 
Katika kikosi hicho, Micho amemjumuisha pia mshambuliaji wa zamani wa Simba, Emmanuel Okwi ambaye kwa sasa anachezea SonderjyskE ya Denmark.
 
Kikosi kamili cha The Cranes kinaundwa; Denis Onyango, Robert Odongkara, Denis Iguma, Joseph Ochaya, Luwagga Kizito, Okwi Emma, Wasswa Hassan Mawanda, Juuko Murushid, Sekisambu Erisa, Kasirye Davis, Massa Geoffrey, Miya Faruku, Lorenzen Melvyn, Walusimbi Godfrey, Aucho Khalid, Lubega Idrisa,  Isinde Isaac, Tony Mawejje na Yassar Mugerwa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox