STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 1 Juni 2016

MBEYA CITY HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE

http://mbeyacityfc.com/wp-content/uploads/2016/05/city-in-malawi-copy.jpgWAKATI klabu nyingine zikienda likizo kwa ajili ya mapumziko ya Ligi Kuu Bara, Mbeya City haijalala kwani inatarajiwa kufanya ziara ya kisoka Malawi.
 
Kwa mujibu wa mtandao wa klabu hiyo, kikosi hicho cha Mbeya City kinatarajia kufanya ziara hiyo ambapo itacheza mechi tatu za kirafiki za kimataifa ili kuwapa uzoefu nyota wao kabla ligi haijaanza baadaye mwaka huu.
 
Kwenye ratiba hiyo, City itaanza kushuka kwenye Uwanja wa Kamuzu, jijini Blantyre Juni 18  kwa kucheza na vigogo wa soka Malawi, Big Bullets.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox