STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 17 Oktoba 2016

REKODI YA MANCHESTER UNITED WANAYO IFUKUZIA BAADA YA SARE YA JANA PIA TWEETS BAADA YA GEMU YA LIVERPOOL ....

 Liverpool 0-0 Manchester United: David de Gea denies Jurgen Klopp's side as Jose Mourinho

 

JINSI MOURINHO ALIVYOCHAKWAZWA TWITTER BAADA YA KUPAKI BASI JANA;






 







 SAVE YA DE GEA YAWAKIVUTIO MCHEZO DHIDI YA LIVERPOOL;
 
 De Gea denies Philippe Coutinho with a world class save during the Anfield affair

Mchezo kati ya Liverpool dhidi ya Manchester United ulichagizwa na kazi ya ziada iliyofanywa na golikipa wa Manchester United mhispania David De Gea kuokoa mchomo wa fundi wa kibrazil Phil Coutinho.

 
Dakika ya pili ya mchezo huo, De Geal aliiokoa timu yake kwa kuokoa mpira uliopigwa na Emre Can lakini kazi liyoifanya kuzuia kazi nzuri iliyofanywa na Coutinho ndiyo ilikuwa save ya maana katika mchezo huo.

Coutinho alijitahidi kupiga mpira kwa ustadi kwa kutumia mguu wake wa kulia nje kidogo ya box na mashabiki wengi waliamini mpira huo ulikuwa unatinga kambani.

Lakini ubora wa De Gea uliiweka United salama ikiwa ni miongoni mwa changamoto nyingi ambazo amefanikiwa kufaulu kwenye maisha yake ya soka akiwa Manchester United.

Tukio hilo lilionekana kuwa ndio lililowavutia mashabiki wengi walioshuhudia mchezo huo kuliko matukio mengine yoyote.

save-1 save 
ENDAPO MANCHESTER UNITED WATACHUKUA UBINGWA MSIMU HUU BASI WATAWEKA REKODI YA TIMU AMBAYO KATIKA MICHEZO NANE YA MWANZO WALIKUWA NAFASI YA SABA

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox