STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 17 Januari 2018

THEO WALCOT NI MALI HALALI YA EVERTON, AUNGANA NA WAYNE ROONEY


Hatimaye nyota wa Arsenal kitambo, Theo Walcott ametua na kujiunga na klabu ya Everton FC ya jijini Liverpool.

Arsenal imepokea kitita cha pauni million 25 kwa wing huyo mwenye miaka 28 ambaye amekaa Arsenal kwa miaka 12.


Walcott ameichezea Everton takribani mechi 400 katika mashindano yote na sasa atakuwa akipokea mshahara wa pauni 110,000 kwa wiki.


Huyu anakuwa mchezaji wa pili kununuliwa na boss wa Everton, Sam Allardyce baada ya kuanza kumsajili mshambuliaji Cenk Tosun kutoka Uturuki kwa pauni 27 milioni


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox