STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 17 Aprili 2015

ETOILE WAIPASHIA YANGA TAIFA, KOCHA WAO ATAMBA!!

 ETOILE du Sahel jioni hii imefanya mazoezi uwanja wa Taifa Dar es salaam kujiandaa na mechi ya kesho dhidi ya Yanga itayopigwa uwanja huo.
Hiyo itakuwa mechi ya kwanza ya hatua ya 16 ya kombe la Shirikisho na mchezo wa marudiano utapigwa nchini Tunisia baada ya wiki mbili.

Kocha wa Etoile,  Faouzi Benzarti amesema hakuna kipya katika soka na wataingia kucheza soka la kawaida kwa kuwa hawakupata taarifa za kutosha kuhusu Yanga kutokana na ufinyu wa muda.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox