STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 30 Agosti 2015

HIKI NDICHO ALICHO KIFANYA SHABIKI WA WEST HAM BAADA YA TIMU YAKE KUIFUNGA LIVERPOOL 'ANFIELD'



Kwa mujibu wa John High shabiki wa klabu ya West Ham United ya Uingereza amekiri kupitia ukurasa wake wa twitter kuwa ni miaka 52 sasa klabu ya West Ham United haijawahi kuifunga klabu ya Liverpool katika uwanja wake wa nyumbani Anfield.

1

John ambaye ni shabiki wa damu wa West Ham United aliahaidi kupitia account yake ya twitter kuwa endapo West Ham itamfunga Liverpool katika uwanja wake wa nyumbani Anfield atachora tattoo ya matokeo hayo mwilini mwake hivyo baada ya ushindi wa goli 3-0 John amechora tattoo hiyo na majina ya walio funga magoli na muda.

2
Klabu ya West Ham United mara ya mwisho kuifunga klabu ya Liverpool katika uwanja wake wa nyumbani Anfield ni mwaka 1963 hivyo mashabiki wa klabu hiyo wengi wao August 29 ni siku ya kihistoria kwao.

Liverpool 0-3 West Ham: Coutinho sent off in shock defeat

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox