STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 1 Septemba 2015

WACHEZAJI WOTE WALIOKAMILISHA USAJILI JANA NCHINI ENGLAND NIMEKUWEKEA HAPA

Image copyrightGetty
Image captionPapy Djilobodji aliyesajiliwa na Chelsea

Ifuatayo ni orodha ya wachezaji ambao wamesajiliwa na vilabu mbali mbali kuanzia mwezi Mei, Juni Julai na Agosti mwaka huu.
  • Mchezaji aliyesajiliwa kwa kiasi cha juu zaidi ni Kevin De Bruyne kutoka Wolfsburg hadi Manchester City na alisajiliwa kwa kitita cha £55m
  • Klabu ya Notts County imewasajili wachezaji 19.
  • Katika ligi kuu Watford imewasajili wachezaji 12

Waliosajiliwa tarehe 1 Septemba

Ligi kuu ya premier na ligi ya Usocti

  • Glenn Murray [Crystal Palace - Bournemouth] £4m
  • Nikica Jelavic [Hull - West Ham] £3m
  • Papy Djilobodji [Nantes - Chelsea] £4m
  • Victor Moses [Chelsea - West Ham] Loan
  • Robbie Muirhead [Dundee United - Partick Thistle] mkopo
  • Ramiro Funes Mori [River Plate - Everton] £9.5m
  • Alex Song [Barcelona - West Ham] mkopo

Wachezaji wengine

  • Richard Stearman [Wolves - Fulham]
  • Nathan Baker [Aston Villa - Bristol City] mkopo
  • Jacob Butterfield [Huddersfield - Derby]
  • Liam Moore [Leicester - Bristol City] mkopo
  • Jordan Botaka [Excelsior - Leeds]
  • Luke O'Neill [Burnley - Southend]
  • Nathan Byrne [Swindon - Wolves]
  • Miguel Layun [Watford - Porto]
  • Adam Drury [Manchester City - Bristol Rovers]

Waliosajiliwa tarehe 31 Agosti

Ligi kuu ya Premier

  • Fabio Borini [Liverpool - Sunderland] £10m
  • Dieumerci Mbokani [Dynamo Kiev - Norwich] Mkopo
  • Ligi daraja ya kwanza
  • Barry Bannan [Crystal Palace - Sheffield Wednesday]
  • Sergi Canos [Liverpool - Brentford] mkopo
  • Marco Djuricin [Red Bull Salzburg - Brentford] mkopo
  • Ryan Fredericks [Bristol City - Fulham]
  • Lucas Piazon [Chelsea - Reading] mkopo
  • Idriss Saadi [Clermont Foot - Cardiff]

Uscoti

Riccardo Calder [Aston Villa - Dundee] mkopo
Martin Woods [Shrewsbury - Ross County]

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox