STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 11 Novemba 2015

AKIWA KAMBINI TIMU YA TAIFA YA BRAZIL, MTOTO WA KAKA AONYESHA KUWA NI 'NYOKA WA BAADAYE'............



Mtoto wa kiungo nyota wa Brazil, Kaka ameonyesha kwamba ana kipaji cha soka na kikiendelezwa atakuwa tishio kama baba yake.



Wanasema mtoto wa nyoka ni nyoka, hilo amelionyesha Luca mwenye umri wa miaka sita baada ya kucheza soka utafikiri mtu mzima anayeipigania timu yake.

Mara kadhaa alionyesha kufanya juhudi za kumpita beki Luiz wakati alipotembelea kambi ya timu ya taifa ya Brazil jijini Sao Paulo ambayo inajiandaa kuwavaa wapinzani wao wakubwa, Argentina.





Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox