STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 12 Novemba 2015

KIMBEMBE KWA CHELSEA BAADA YA PSG NA REAL MADRID KUVALIA NJUGA SAINI YA EDEN HAZARD ...............

Eden Hazard-PSG
Klabu ya PSG imejitosa kupambana na klabu ya soka ya Real Madrid kuwania saini ya mchezaji Eden Hazard wa Chelsea katika majira ya kiangazi mwakani.

Tokeo la picha la hazard 2015
 Hazard raia wa Ubelgiji amekua akihusishwa hivi karibuni kuhamia katika klabu ya Real Madrid na sasa PSG imeingia katika mchakato huo.

Inaelezwa kuwa pamoja na Hazard kuongeza mkataba wa miaka 5 msimu uliopita klabuni hapo, hana furaha na kwamba akili yake iko Real Madrid huku pia kukiwa na tetesi huenda hawana uhusiano mzuri na kocha Jose Mourinho ambaye amekua akiwaongelea wachezaji wake tofauti na awali.

 Tokeo la picha la hazard 2015


Klabu ya PSG ya Ufaransa inaamini Hazard ambaye alishawahi ichezea klabu ya Lille ya nchini Ufaransa, atakua radhi kurudi tena nchini humo.

Inaelezwa mkataba wa Hazard na Chelsea unafanya thamani ya mchezaji huyo kuwa inakaribia pauni milioni 80 na kwamba PSG wako tayari kumtwaa mchezaji huyo bora wa msimu uliopita katika ligi ya England.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox