STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 16 Mei 2015

ADIDAS YAMPA GERRARD VIATU MAALUM AIAGE LIVERPOOL


Adidas imempa nahodha wa Liverpool, Steven Gerrard viatu maalum ambavyo atavitumia wakati wa kuwaaga mashabiki wa timu hiyo.

Viatu hivyo atavivaa katika mechi zake mbili zilizobaki za Liverpool akianza na ile ya Jumamosi dhidi ya Crystal Palace ambayo ni muhimu sana kwa kuwa ndiyo ya mwisho kwake katika Uwanja wa Anfield.

Baada ya mechi hiyo, Gerrard atavivaa tena viatu vya aina hiyo katika mechi yake ya mwisho kabisa akiwa na Liverpool ambayo watacheza dhidi ya Stoke City wakiwa ugenini.
Gerrard anaondoka Liverpool na kwenda kujiunga na LA Galaxy ya Marekani.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox